Job 38:8-10


8 a“Ni nani aliyeifungia bahari milango
ilipopasuka kutoka tumbo,
9 bnilipoyafanya mawingu kuwa vazi lake,
na kuyafungia katika giza nene,
10 cnilipoamuru mipaka yake,
na kuiweka milango yake na makomeo mahali pake,
Copyright information for SwhNEN